Opening book details…
Can I read Tuki kamusi ya kiswahili-kiingereza. Swahili-English dictionary on EtoBox?
Tuki kamusi ya kiswahili-kiingereza. Swahili-English dictionary by Mulokozi M.M. is a nonfiction available to read on EtoBox.
What is Tuki kamusi ya kiswahili-kiingereza. Swahili-English dictionary about?
Publisher: Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Publication date: 2001 Number of pages: 349 Kamusi hii ya Kiswahili-Kiingereza ina historia ndefu. Wazo la kutunga kamusi hii ilianzishwa mwaka 1964 na Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili (ambacho kuanzia mwaka 1972 kilijulikana kama Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili). Wazo hili lilibuniwa wakati wa enzi ya Profesa Wilfred H.Whitely, ambaye wakati huo alikuwa ndiye Mkurugenzi wa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili, ikiwa ni miaka 25 baada ya kuchapishwa kwa kamusi ya Johnson ijulikanayo kama Standard Swahili-English Dictionary (1939). Kazi ya utunzi wa kamusi mpya ilianza baada ya shirika lijulikanalo kama Calouste Gulbenkian Foundation kutoa msaada wa pesa kwa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 1964 hadi Octoba 1967 ili kukiwezesha chuo kumwajiri mchunguzi atakayeweza kuifanya kazi hiyo.
Who reads Tuki kamusi ya kiswahili-kiingereza. Swahili-English dictionary?
It is typically read by self-directed learners exploring a subject in depth.
Common subject areas: history, science, philosophy, social sciences.
- Author
- Mulokozi M.M.
- Language
- SW
- Category
- nonfiction
- Subjects
- Language Learning, Language
More by Mulokozi M.M.
Browse all works by Mulokozi M.M.
Similar books
- English - Swahili Dictionary - Kamusi Ya Kiingereza-Kiswahili — J. S Mdee; David Phineas Bhukanda Massamba; Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (1996)
- Kamusi ya Tiba — A.M.A. Mwita; H.J.M. Mwamsoko (2003)
- English/Swahili - Bilingual Dictionary for ESL Beginners = Kiingereza/Swahili - Kamusi ya kiswahili na kiingereza kwa wanao jifunza lugha ya kiingereza kama lugha ya pili. — Multicultural Programs Unit, Equity Programs and Distance Education Directorate (2010)
- Miaka Hamsini ya Kiswahili Nchini Kenya — Inyani K Simala; Leonard Chacha; Miriam Osore; Ayub Mukhwana; Brenda Midika; Clara Momanyi; Grace Wanja; Henry Indindi; Jacktone O Onyango; Joseph Nyehita Maitaria (2014)
- Kiswahili 6. Sanifu kwa Shule za Sekondari. Kitabu cha Mwanafunzi — Ndayambaje Ladislas, Niyirora Emmanuel.
- Kiswahili 5. Sanifu kwa Shule za Sekondari. Kitabu cha Mwanafunzi — Ndayambaje Ladislas, Niyirora Emmanuel.